Kamati ya Wilaya ya ulinzi wa Wanawake na Watoto Wilayani Mpwapwa imeridhishwa na mwenendo wa huduma zinazotolewa kwa wanawake gerezani hapo.

Kamati ya  Wilaya ya ulinzi wa Wanawake  na Watoto Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma imetembelea Gereza la Wanawake Wilayani Mpwapwa  na kuridhishwa na mwenendo wa huduma zinazotolewa kwa wanawake gerezani hapo.Baada ya kutembelea Gereza hilo leo  Mwenyekiti wa Kamati hiyo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halimashauri ya Wilaya ya Mpwapwa  Paulo Sweya  amesema wameridhishwa na Mazingira Mazuri