Kamati ya Wilaya ya ulinzi wa Wanawake na Watoto Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma imetembelea Gereza la Wanawake Wilayani Mpwapwa na kuridhishwa na mwenendo wa huduma zinazotolewa kwa wanawake gerezani hapo.Baada ya kutembelea Gereza hilo leo Mwenyekiti wa Kamati hiyo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halimashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Paulo Sweya amesema wameridhishwa na Mazingira Mazuri
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed